Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 13:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Kwa upande wangu, siwezi kuvumilia haya hiyo. Na kwa upande wako, utakuwa mumoja wa wapumbafu wa Israeli. Basi, mimi ninakusihi uzungumuze na mufalme maana hatakukataza kunioa.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 13:13
4 Σταυροειδείς Αναφορές  

Angalia, nina wabinti wawili ambao bado hawajalala na mwanaume. Muniruhusu niwape hao wabinti muwatendee kama vile munavyopenda. Lakini musiwatendee lolote wanaume hawa kwa sababu ni wageni wangu.”


Zaidi ya hayo, kwa kweli, yeye ni dada yangu: baba yake na baba yangu ni mumoja, lakini mama tofauti; ndiyo maana aliweza kuwa muke wangu.


watamupeleka kwenye mulango wa nyumba ya baba yake na wanaume wa muji huo watamupiga mawe akufe, kwa sababu amefanya upumbafu katika Israeli kwa kufanya ukahaba akiwa katika nyumba ya baba yake. Ndivyo mutakavyokomesha uovu huo kati yenu.


Ningali na binti yangu ambaye ni bikira na kuna vilevile yule habara wa mugeni wangu. Muniruhusu niwatoshe inje, muwakamate na kuwatendea kama munavyotamani, lakini mutu huyu musimutendee jambo hilo la kipumbafu.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις