Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 12:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Siku moja, yule tajiri alifikiwa na mugeni. Basi, tajiri yule hakutaka kukamata kondoo mumoja kati ya kondoo wake mwenyewe au ngombe wake, amuchinjie mugeni wake, lakini alikwenda na kumunyanganya yule masikini mwana-kondoo wake, akamuchinjia mugeni wake.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 12:4
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Lakini yule masikini alikuwa na mwana-kondoo mudogo mumoja dike, ambaye alikuwa amemununua. Alimutunza, naye akakomaa katika nyumba yake pamoja na watoto wake. Alimukulisha mwana-kondoo yule chakula kilekile kama chake na kunywea kwenye kikombe chake naye vilevile alikuwa akimukumbatia kwenye kifua. Mwana-kondoo yule alikuwa kama binti kwa yule mutu masikini.


Daudi aliposikia hayo, akawaka hasira juu ya yule tajiri. Akamwambia nabii Natani: “Kama vile Yawe anavyoishi, mutu aliyefanya jambo hilo anastahili kufa!


Lakini kila mutu anajaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa yake mbaya mwenyewe.


Muzee yule alipoangalia na kumwona yule musafiri akiwa kule katika kiwanja, akamwuliza: “Umetoka wapi na unakwenda wapi?”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις