Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 12:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Wewe ulifanya jambo hilo kwa siri, lakini mimi nitayafanya hayo mbele ya Waisraeli wote waziwazi.’ ”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 12:12
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kwa hiyo, watu wakamupigia Abusaloma hema kwenye paa, naye akalala na wahabara za baba yake, watu wote wa Israeli wakiwa wanaona.


basi, muke wangu amupikie mume mwingine, na wanaume wengine walale naye.


Hakuna weusi wala giza kubwa ambamo watenda maovu wanaweza kujificha.


Maana, Mungu atahukumu matendo yote, hata yale yanayotendwa kwa siri, yakuwe mazuri au mabaya.


Kwa hiyo musihukumu mutu mbele ya wakati uliopangwa; mungojee mpaka Bwana atakaporudia. Yeye ndiye atakayeonyesha wazi katika mwangaza mambo yote yaliyofichwa katika giza na kufunua nia za siri za watu. Halafu kila mutu atapokea sifa anayostahili toka kwa Mungu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις