2 Samweli 11:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Ilipokuwa kwa mwanzo wa mwaka mupya, wakati ambapo wafalme wanaenda kwa vita, Daudi alimutuma Yoabu na wakubwa wake pamoja na waaskari wote wa Israeli kupigana. Nao waliteka Waamoni na kushambulia muji wa Raba. Lakini Daudi alibaki Yerusalema. Δείτε το κεφάλαιο |