Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 10:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Lakini Waaramu walikimbia mbele ya Waisraeli. Daudi aliwaua Waaramu mia saba waliokuwa waendeshaji wa magari ya vita, waaskari wapanda-farasi elfu makumi ine. Vilevile alimwumiza Sobaki, jemadari wa waaskari wao, naye akakufia palepale.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 10:18
10 Σταυροειδείς Αναφορές  

Daudi alipopata habari, aliwakusanya pamoja waaskari wote wa Israeli, akavuka muto Yordani na kwenda mpaka Helamu. Nao Waaramu walijipanga tayari kwa vita na Daudi, wakaanza kupigana naye.


Daudi aliteka waaskari wapanda-farasi elfu moja na mia saba, na waaskari wa miguu elfu makumi mbili. Kisha Daudi alikata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wa magari ya vita, lakini aliacha farasi wa kutoshelea kwa magari mia moja.


Nyuma ya Daudi kufanya mauaji kule Zoba, Resoni alikusanya watu, naye mwenyewe akakuwa kiongozi wao. Basi, wakaenda Damasiki, wakakaa kule na kumufanya Resoni mufalme wa Damasiki.


Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Waisraeli. Daudi akawaua Waaramu wanaoendesha magari elfu saba na waaskari wa miguu elfu makumi ine. Vilevile akamwua Sofaki, jemadari wa jeshi lao.


Niliwafuata waadui zangu na kuwakamata; sikurudi nyuma mpaka wamemalizika.


Anasema: “Munyamaze na kujua kwamba mimi ni Mungu! Mimi ninatukuzwa katika mataifa yote; mimi ninatukuzwa katika ulimwengu wote!”


Mungu asimame sasa, na waadui zake watawanyike! Wanaomuchukia wakimbie mbali naye!


Yawe akawatia katika mikono ya mufalme wa Kanana, jina lake Asikie, ambaye aliishi Hazori. Jemadari wa waaskari wake aliitwa Sisera, mukaaji wa Haroseti-Hagoimu.


Naye Baraka alipokuwa anamufuatilia Sisera, Yaeli akatoka inje kwa kumupokea akamwambia: “Ukuje nami nitakuonyesha yule unayemutafuta.” Baraka akaingia ndani ya hema la Yaeli na kumukuta Sisera chini, amekufa, na musumari wa hema ndani ya paji lake.


Kwa mukono mumoja akashika musumari wa kufungia hema, na kwa mukono wake wa kuume nyundo ya fundi. Alimuponda Sisera kichwa, akavunja na kupasuapasua paji lake.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις