Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 9:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Samweli akamwambia mupishi: “Ulete ile sehemu niliyokupatia, nikakuambia uiweke pembeni.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 9:23
4 Σταυροειδείς Αναφορές  

Chakula kilikuwa kikitwaliwa kutoka kwenye meza ya Yosefu na kupelekwa kwao, lakini Benjamina alipewa mara tano zaidi ya kipimo wandugu zake walichopewa. Basi, wakakunywa na kufurahi pamoja naye.


Elekana alimupa Hana fungu kubwa la nyama ya sadaka kwa sababu alimupenda sana ingawa Yawe hakumujalia watoto.


Kisha Samweli akamupeleka Saulo na mutumishi wake ndani ya baraza, akawapa nafasi ya heshima, ambako wageni walioalikwa walikuwa wameikaa. Kulikuwa wageni yapata makumi tatu.


Yule mupishi akaenda akaleta paja na sehemu ya nyama iliyokuwa upande wa juu wa paja hilo na kuviweka mbele ya Saulo. Halafu Samweli akamwambia Saulo: “Angalia kile ulichowekewa; sasa kimewekwa mbele yako. Sasa ukule kwa sababu kimewekwa kwa ajili yako kusudi upate kula pamoja na wageni.” Hivyo, Saulo akakula pamoja na Samweli siku hiyo.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις