1 Samweli 9:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200223 Samweli akamwambia mupishi: “Ulete ile sehemu niliyokupatia, nikakuambia uiweke pembeni.” Δείτε το κεφάλαιο |
Yule mupishi akaenda akaleta paja na sehemu ya nyama iliyokuwa upande wa juu wa paja hilo na kuviweka mbele ya Saulo. Halafu Samweli akamwambia Saulo: “Angalia kile ulichowekewa; sasa kimewekwa mbele yako. Sasa ukule kwa sababu kimewekwa kwa ajili yako kusudi upate kula pamoja na wageni.” Hivyo, Saulo akakula pamoja na Samweli siku hiyo.