1 Samweli 9:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Mara moja mutakapoingia katika muji, mutamukuta mbele hajakwenda kwenye nafasi ya ibada kwenye mulima kwa kula. Maana watu hawatakula mpaka kwanza yeye abariki sadaka. Kisha wale walioalikwa watakula. Hivyo muende haraka; mutakutana naye sasa hivi.” Δείτε το κεφάλαιο |