Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 9:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Saulo akamujibu: “Hilo ni jambo zuri; basi, tuende.” Hivyo, wakaenda kwenye muji mutu yule wa Mungu alimokuwa anakaa.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 9:10
4 Σταυροειδείς Αναφορές  

Baba mudogo wa Saulo alipowaona Saulo na mutumishi, akawauliza: “Mulikuwa wapi?” Saulo akajibu: “Tulikwenda kuwatafuta punda, na tulipoona hawapatikani, tulikwenda kumwona Samweli.”


Walipokuwa wanapanda mulima kuelekea katika muji, wakakutana na wabinti waliokuwa wakienda kuteka maji. Wakawauliza wabinti wale: “Mwonaji yuko katika muji?”


(Hapo zamani katika Israeli kama mutu akitaka kumwomba Mungu shauri, alisema: “Basi, kuja, kuja tuende kwa mwonaji.” Maana mutu anayeitwa nabii siku hizi hapo zamani aliitwa mwonaji).


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις