1 Samweli 5:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Hivyo, wakalipeleka Sanduku hilo la Mungu kwenye muji wa Ekuroni. Lakini Sanduku hilo la Mungu lilipofika kule, watu wa muji huo walipiga kelele: “Wametuletea Sanduku la Mungu wa Israeli kwa kutuua sisi na watu wetu.” Δείτε το κεφάλαιο |