Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 31:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Kisha, wakaitwaa mifupa yao na kuizika chini ya muti wa mukwaju kule Yabesi, nao wakafunga kula chakula kwa muda wa siku saba.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 31:13
8 Σταυροειδείς Αναφορές  

Debora, mulezi wa Rebeka, akakufa, akazikwa chini ya muti wa mwalo upande wa kusini wa Beteli. Kwa hiyo Yakobo akauita muji ule “Mwalo wa Maombolezo”.


Walipofika katika uwanja wa kupepetea ngano wa Atadi, ngambo ya muto Yordani, waliomboleza kwa huzuni kubwa, naye Yosefu akamufanyia baba yake marehemu kilio cha siku saba.


Wakaomboleza, wakalia na kufunga kula mpaka magaribi kwa ajili ya Saulo, Yonatani mwana wake, na inchi ya Waisraeli, watu wa Yawe, kwa maana wengi kati yao waliuawa katika vita.


Batiseba muke wa Uria aliposikia kwamba mume wake Uria amekufa, akafanya kilio kwa ajili yake.


Wayuda wengi walikuwa wamekuja kwa Marta na Maria kwa kuwafariji kwa ajili ya kifo cha kaka yao.


Siku moja, Saulo alikuwa Gibea, akiikaa chini ya muti wa mukwaju, kwenye mulima, naye alikuwa na mukuki wake katika mukono na watumishi wake walikuwa wakimuzunguka. Basi akaambiwa kwamba Daudi na watu wake wameonekana.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις