Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 30:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Hakuna mutu atakayekubaliana na mawazo yenu! Yule aliyekwenda katika vita na yule aliyebaki na mizigo yetu, kila mutu atapewa sehemu inayolingana na ya mwenzake.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 30:24
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Bwana alitoa amri, nao wanawake wengi wakatangaza habari:


Mugawanye vitu katika mafungu mawili, fungu moja la waaskari waliokwenda kwa vita na fungu lingine kwa ajili ya watu wote wengine.


Watu wote waliogandamizwa au waliokuwa na madeni au wale wenye huzuni walijiunga na Daudi. Jumla yao ilikuwa watu yapata mia ine, naye akakuwa kiongozi wao.


Kwa hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mutu apakatie upanga wake kwenye kiuno.” Kila mutu akapakatia upanga wake, na Daudi vilevile akapakatia upanga wake. Watu yapata mia ine wakamufuata Daudi na watu mia mbili wakabaki na mizigo.


Daudi akawaambia: “Sivyo wandugu zangu. Hamuwezi kufanya vile kwa kile ambacho Yawe ametupatia. Alitulinda salama, na akalitia katika mikono yetu kundi lililokuja kutushambulia.


Tangu siku ile Daudi alifanya uamuzi ule kuwa sharti na agizo katika inchi ya Israeli mpaka hivi leo.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις