Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 30:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Daudi akawarudilia wale watu mia mbili ambao waliachwa kwenye kijito cha Besori kwa sababu walikuwa wamechoka kwa kumufuata. Wale watu walipomwona Daudi pamoja na wale waliokuwa pamoja naye, wakaenda kumupokea. Daudi alipofika karibu na watu hao, akawasalimia.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 30:21
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Muendelee kuishi katika upendo wa kindugu.


Kwa kumaliza, ninyi wote mukuwe na mawazo na nia moja, mupendane kama wandugu waamini, mukuwe wema na wanyenyekevu.


Gideoni akarudi kwa watu wa Sukoti, akawaambia: “Si mutakumbuka mulivyonitukana muliposema: ‘Kwa nini tuwape mikate watu wako waliochoka sana nanyi hamujamushinda Sadaka na Kivuli?’ Haya basi, Sadaka na Kivuli ndio hawa.”


Na yule mukubwa wa kundi la waaskari elfu moja umupelekee siagi hizi kumi. Uwaangalie kaka zako kama wanaendelea vizuri na kisha uniletee habari zao.”


Daudi alimupatia kile chakula mutu aliyechunga mizigo, akawakimbilia waaskari, akaenda kwa kaka zake na kuwasalimia.


Lakini Daudi aliendelea kulifuatilia lile kundi akiwa na watu mia ine. Watu mia mbili wakabaki pale kwa sababu walichoka sana hata hawakuweza kuvuka kijito kile.


Lakini watu wote waovu na wa ovyo ovyo kati ya watu waliofuatana na Daudi, wakasema: “Hatutawapa watu hawa kitu chochote tulichokikomboa maana hawakuendelea pamoja nasi. Lakini wawatwae wake zao na watoto wao, waende zao.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις