1 Samweli 30:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200221 Daudi akawarudilia wale watu mia mbili ambao waliachwa kwenye kijito cha Besori kwa sababu walikuwa wamechoka kwa kumufuata. Wale watu walipomwona Daudi pamoja na wale waliokuwa pamoja naye, wakaenda kumupokea. Daudi alipofika karibu na watu hao, akawasalimia. Δείτε το κεφάλαιο |