5 Huyu ni Daudi yuleyule ambaye wanawake waliimba habari zake walipokuwa wakicheza: ‘Saulo ameua maelfu, lakini Daudi ameua maelfu kumi.’ ”
Basi nabii Miriamu, dada ya Haruni, akatwaa ngoma katika mukono, na wanawake wengine wote wakamufuata wakiwa na ngoma zao ndogo wakicheza.
Anayemusalimia jirani yake kwa kelele asubui mapema, itahesabiwa kwamba amemutakia laana.
Siku hiyo, Daudi alimukimbia Saulo, akaenda kwa mufalme Akisi wa Gati.