Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 28:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Zaidi ya hayo, Yawe atakutia wewe pamoja na Waisraeli wote katika mikono ya Wafilistini. Kesho, wewe na wana wako mutakuwa pamoja nami. Hata waaskari wa Israeli, Yawe atawatia katika mikono ya Wafilistini.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 28:19
12 Σταυροειδείς Αναφορές  

Halafu Yawe akauliza: ‘Ni nani atakayemushawishi Ahabu aende aangamie kule Ramoti-Gileadi?’ Kila mumoja akajibu namna alivyofikiri.


Halafu Mikaya alisema: “Ukirudi salama basi, utajua kwamba Yawe hakusema nami.” Kisha akaendelea kusema: “Musikilize enyi watu wote!”


Kule kwa wafu waovu hawasumbui mutu, kule wanaochoka wanapumzika.


Kwa hiyo kesho, wakati kama huu, nitaleta mvua kubwa ya mawe ambayo haijatokea katika inchi ya Misri, tangu mwanzo wake mpaka leo.


Mwana wa Mutu atakufa sawa vile Maandiko Matakatifu yanavyosema juu yake, lakini ole kwa mutu yule atakayemutoa! Ingekuwa heri kwake kama asingezaliwa!”


Anania aliposikia maneno hayo, mara moja akaanguka chini na kufa. Na wote waliosikia habari ile wakashikwa sana na woga.


Lakini kama mukiendelea kutenda maovu, mutaangamia ninyi wenyewe pamoja na mufalme wenu.”


Kwa rafla, Saulo akiwa na hofu kutokana na maneno ya Samweli, alianguka chini. Hakukuwa na nguvu zozote kwa sababu alikuwa hajakula kitu chochote kwa siku nzima, usiku na muchana.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις