1 Samweli 27:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Katika muda huo, Daudi na watu wake waliwashambulia Wagesuri, Wagirzi na Waamaleki, ambao walikuwa wenyeji wa inchi hiyo tangu zamani. Aliwashambulia katika inchi yao mpaka Suri, hata kwa mupaka na Misri. Δείτε το κεφάλαιο |