Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 26:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Halafu akaendelea kusema: “Lakini kwa nini, wewe bwana wangu unanifuatilia mimi mutumishi wako? Nimefanya nini? Ni uovu gani nimekufanyia?

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 26:18
12 Σταυροειδείς Αναφορές  

Wakubwa wananitesa bila sababu, lakini mimi ninaheshimu maneno yako kwa moyo wote.


Maana walinitegea mitego bila sababu; walinichimbia shimo bila neno lolote.


Ninaregea kwa ajili ya kulalamika, na koo langu limekauka. Macho yangu yamefifia, nikikungojea ewe Mungu wangu.


Halafu Yeremia akamwuliza mufalme Zedekia: Nimekukosea nini, au nimewakosea nini watumishi wako au watu hawa, hata unitie katika kifungo?


Yesu akawaambia tena: “Nimewaonyesha matendo mengi mazuri kwa uwezo wa Baba. Ni kwa sababu ya tendo gani kati ya hayo munataka kunitupia mawe?”


Yesu akamujibu: “Kama nimesema vibaya, onyesha ubaya ule. Lakini kama nimesema vizuri, kwa nini unanipiga?”


Nani kati yenu anaweza kuhakikisha kwamba nimefanya zambi? Ikiwa ninasema ukweli, kwa sababu gani hamuniamini?


Daudi akamujibu: “Sasa nimefanya nini? Siwezi kuuliza neno tu?”


Daudi alikimbia kutoka Nayoti katika Rama, akaenda mpaka kwa Yonatani, akamwambia: “Nimefanya nini? Kosa langu ni gani? Nimemutendea baba yako zambi gani hata anajaribu kuyaangamiza maisha yangu?”


Kisha, Daudi naye akasimama, akatoka ndani ya pango na kumwita Saulo: “Bwana wangu mufalme!” Mufalme Saulo alipoangalia nyuma, Daudi aliinama mpaka chini, kwa kumuheshimu Saulo.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις