Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 26:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Daudi akamujibu: “Wewe si mwanaume? Nani anayekuwa sawa nawe katika Israeli? Mbona basi, haukumulinda bwana wako mufalme? Mutu mumoja kati yetu aliingia pale kwa kumwangamiza bwana wako mufalme!

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 26:15
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mufalme Daudi aliwaambia watumishi wake: “Hamujui kwamba leo mukubwa na mutu wa heshima amekufa katika inchi ya Israeli?


basi, ni wewe, ee mufalme, ambaye umekuwa mukubwa na mwenye nguvu. Ukubwa wako umefika mpaka mbinguni, na ufalme wako umeenea mpaka miisho ya dunia.


Kisha akarudi pahali pale alipowaacha wale wanafunzi, akawakuta wamelala usingizi. Akamwambia Petro: “Hamukuweza kukesha pamoja nami hata kwa saa moja tu?


Akawaita kwa sauti waaskari wa Saulo na Abeneri mwana wa Neri akisema: “Abeneri, unanisikia?” Abeneri akauliza: “Wewe ni nani unayemwita mufalme?”


Ulilotenda si jambo zuri. Kama vile Yawe anavyoishi, unastahili kufa, maana haukumulinda bwana wako, ambaye ni muchaguliwa wa Yawe. Sasa angalia, mukuki wa mufalme na ule mufuko wa maji uliokuwa karibu na kichwa chake kama vipo!”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις