1 Samweli 25:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Kulikuwa mutu mumoja kule katika muji wa Maoni ambaye alikuwa na biashara ya kondoo katika muji wa Karmeli. Kule Karmeli alifuga kondoo wake na kuwakata manyoya. Alikuwa tajiri sana. Alikuwa na kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja. Δείτε το κεφάλαιο |