1 Samweli 25:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Kwa hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mutu apakatie upanga wake kwenye kiuno.” Kila mutu akapakatia upanga wake, na Daudi vilevile akapakatia upanga wake. Watu yapata mia ine wakamufuata Daudi na watu mia mbili wakabaki na mizigo. Δείτε το κεφάλαιο |