Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 25:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi namna walivyojibiwa.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 25:12
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Halafu, Gadi akamwendea Daudi na kumwelezea, akisema: “Unapendelea njaa ya miaka saba ikuje katika inchi yako? Au wewe uwakimbie waadui zako kwa miezi mitatu wanapokufuatilia? Au kuwe siku tatu ambapo inchi yako itakuwa na ugonjwa mukali? Fikiri unipe jibu nitakalomupa yeye aliyenituma.”


Mutii waongozi wenu na kushika maagizo yao. Kwa maana wao wanashugulika kila mara kwa ajili ya roho zenu, na wao wanapaswa kutoa habari ya kazi yao mbele ya Mungu. Kwa kufanya vile mutawaruhusu kufanya kazi yao kwa furaha wala si kwa huzuni, kwa maana haitawafalia kitu kama wakitumika katika huzuni.


Nikamate mikate yangu, maji yangu na nyama niliyowachinjia wakata manyoya ya kondoo wangu na kuwapa watu ambao sijui hata wanatoka wapi?”


Kwa hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mutu apakatie upanga wake kwenye kiuno.” Kila mutu akapakatia upanga wake, na Daudi vilevile akapakatia upanga wake. Watu yapata mia ine wakamufuata Daudi na watu mia mbili wakabaki na mizigo.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις