1 Samweli 20:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Daudi akamwambia: “Kesho ni sikukuu ya mwandamo wa mwezi, nami nilipaswa kuwa kwenye meza kwa kula pamoja na mufalme. Lakini uniache, niende kujificha kule katika shamba mpaka siku ya tatu magaribi. Δείτε το κεφάλαιο |