1 Samweli 2:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200215 Zaidi ya hayo, hata mbele mafuta hayajateketezwa kwa moto, mutumishi wa kuhani anakuja na kumwambia yule mutu anayetolea sadaka: “Mumutoshee kuhani nyama ya kuchoma maana yeye hatapokea nyama yako iliyotokoteshwa, lakini inayokuwa mbichi.” Δείτε το κεφάλαιο |