Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 19:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Kisha Saulo akawatuma warudie kule tena, akawaagiza akisema: “Mumulete Daudi kwangu hata akiwa katika kitanda kusudi auawe.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 19:15
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Watumishi wangu wote wanasema wazi, kila mugeni amekaribishwa katika nyumba yangu.


Mwovu anamufanyia mutu wa haki shauri baya, na kumusagia meno kwa chuki.


Wao ni wepesi kwa kumwanga damu.


Saulo alipotuma watu kwa kumukamata Daudi, Mikali akawaambia kwamba Daudi ni mugonjwa.


Wale watu walipoingia ndani ya nyumba ya Daudi na kukiangalia kitanda, waliona kuna sanamu na kiegemeo cha manyoya ya mbuzi kwenye kichwa.


Saulo alimusikiliza Yonatani, kisha akaapa: “Kama vile Yawe anavyoishi, sitamwua Daudi.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις