Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 18:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Basi, alimutupia Daudi mukuki mara mbili maana alifikiri: “Nitamubanisha Daudi kwenye ukuta.” Lakini Daudi aliepa mara zote mbili.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 18:11
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kasirani ni kali na hasira inaangamiza; lakini ni nani anayeweza kupingana na wivu?


Silaha zote zilizotengenezwa kwa kukuzuru wewe hazitafaa kwa kitu chochote. Mutu akikushitaki, utamushinda. Hiyo ndiyo haki niliyowapangia watumishi wangu. Hizo ndizo haki nilizowahakikishia. –Ni ujumbe wa Yawe.


Lakini yeye akapita katikati yao, na kujiendea.


Wakajaribu tena kumufunga Yesu, lakini akawaponyoka.


Kwa ajili ya hii, wakaokota mawe kwa kumutupia. Lakini Yesu akajificha na kutoka ndani ya hekalu.


walizimisha moto mukali, waliponyoka kuuawa kwa upanga. Walikuwa wazaifu, lakini wakapata nguvu; walikuwa shujaa katika vita na kushinda majeshi ya kigeni.


Lakini Saulo akamutupia Yonatani mikuki kusudi amwue. Naye Yonatani akatambua kwamba baba yake alikuwa amekusudia kumwua Daudi.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις