1 Samweli 17:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Mupini wa mukuki wake ulikuwa kama muti wa mufumaji wa nguo, na chuma cha mukuki huo, kilikuwa na uzito wa kilo saba. Ngao yake ilibebwa na mutu mwingine aliyemutangulia. Δείτε το κεφάλαιο |