1 Samweli 17:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Daudi alikuwa mutoto wa Yese, wa ukoo wa Efurata kutoka Betelehemu katika inchi ya Yuda. Yese alikuwa na watoto wanane wa kiume. Wakati Saulo alipokuwa mufalme, yeye alikuwa amekwisha kuwa muzee, mutu mwenye umri mukubwa. Δείτε το κεφάλαιο |