Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 15:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Lakini watu walinyanganya vitu: kondoo, ngombe na vitu vyote bora vilivyolaaniwa kwa kumutolea Yawe, Mungu wako, kule Gilgali.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 15:21
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Yule mwanaume akajibu: “Mwanamuke uliyenipa akae pamoja nami ndiye aliyenipa tunda la muti ule, nami nikakula.”


Yawe Mungu akamwuliza yule mwanamuke: “Umefanya nini wewe?” Mwanamuke akamujibu: “Nyoka alinidanganya, nami nikakula.”


Marasi hii ingeuzishwa kwa bei kali na kuwagawanyia wamasikini mali ile!”


Saulo akajibu: “Watu waliwaacha wazima kondoo na ngombe bora kabisa kwa kumutolea Yawe, Mungu wako, lakini wengine wote tumewaangamiza.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις