Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 14:49 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

49 Wana wa Saulo walikuwa: Yonatani, Iswi na Malkisua. Wabinti zake walikuwa wawili; muzaliwa wa kwanza aliitwa Merabu na mudogo aliitwa Mikali.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 14:49
10 Σταυροειδείς Αναφορές  

Lakini Wafilistini wakamuzunguka Saulo na wana wake, kisha wakawaua Yonatani, Abinadabu na Malikisua wana wa Saulo.


Neri alizaa Kisi, Kisi alizaa Saulo. Saulo alizaa: Yonatani, Malkisua, Abinadabu na Esibali.


Neri alizaa Kisi, naye Kisi alizaa Saulo. Saulo alikuwa na wana wane: Yonatani, Malikisua, Abinadabu na Esibali.


Daudi na watu wake walikwenda, wakawaua Wafilistini mia mbili na kuyatwaa magovi yao mpaka kwa mufalme Saulo. Hapo akamuhesabilia hesabu kamili kusudi mufalme akuwe baba mukwe wa Daudi. Hivyo, Saulo akamupatia Daudi binti yake Mikali akuwe muke wake.


Kwa hiyo Mikali akamutelemusha Daudi kupitia katika dirisha, naye akatoka na kutoroka.


Wakati huo, Saulo alikuwa amemwoesha binti yake Mikali, ambaye alikuwa muke wa Daudi, kwa Palti mwana wa Laisi, wa muji wa Galimu.


Lakini Wafilistini wakamufuatilia Saulo na wana wake, kisha wakawaua Yonatani, Abinadabu na Malki-Sua, wana wa Saulo.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις