Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 14:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Waebrania waliokuwa upande wa Wafilistini, na waliokwenda nao kule katika kambi, wakageuka na kujiunga na Waisraeli waliokuwa pamoja na Saulo na Yonatani.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 14:21
3 Σταυροειδείς Αναφορές  

Waisraeli wa kabila la Nafutali, Aseri, na Manase, wote waliitwa, wakawafuatilia Wamidiani.


Lakini wakubwa wa Wafilistini walimukasirikia sana Akisi, wakamwambia: “Umurudishe aende pahali ulipomupa akae. Asiende hata kidogo pamoja nasi kwa vita, kama sivyo wakati wa vita atageuka na kuwa adui yetu. Hauoni kwamba mutu huyu atapata njia nzuri ya kupatana na bwana wake halafu kuwa adui yetu katika vita?


Sasa, enyi Wafilistini, mujipe moyo. Mukuwe hodari kusudi musipate kuwa watumwa wa Waebrania kama wao walivyokuwa watumwa wetu. Mukuwe hodari kama wanaume na kupigana.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις