1 Samweli 13:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Waisraeli walipoona wako katika taabu (maana walikuwa wanashambuliwa vikali), walianza kujificha. Wengine walijificha katika mapango, wengine ndani ya mashimo, wengine kwenye mawe makubwa, wengine kwenye makaburi na wengine kwenye visima. Δείτε το κεφάλαιο |