1 Samweli 12:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Lakini wao walimusahau Yawe, Mungu wao, naye akawatia katika mikono ya Sisera, jemadari wa waaskari wa muji wa Hazori, na katika mikono ya Wafilistini na katika mikono ya mufalme wa Moabu. Mataifa hayo yalipigana na babu zenu na kuwashinda. Δείτε το κεφάλαιο |