Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 10:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Akalileta mbele kabila la Benjamina, kulingana na ukoo zake, na ukoo wa Matiri ukachaguliwa kwa kura. Mwisho akauleta mbele ukoo wa Matiri, na Saulo mwana wa Kisi akachaguliwa kwa kura. Lakini walipomutafuta hakupatikana.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 10:21
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Abeneri akazungumuza na watu wa kabila la Benjamina, kisha akaenda mpaka Hebroni kumwambia Daudi juu ya yale ambayo watu wote wa Israeli na kabila lote la Benjamina walipatana kutenda.


Kura inakomesha ubishi; inaamua kati ya wakubwa wanaopingana.


Kisha wale watumishi wa mashua wakasemezana: Tupige kura tupate kujua hasara hii imetupata kwa ajili ya kosa la nani. Basi, wakapiga kura; kura ikamwangukia Yona.


Na kisha wakaomba wapewe mufalme. Kwa hiyo Mungu akawawekea Saulo, mwana wa Kisi, wa kabila la Benjamina kwa kuwatawala kwa muda wa miaka makumi ine.


Kisha Samweli akayapanga makabila yote ya Waisraeli, kabila la Benjamina likaangukiwa na kura.


Wakamwuliza Mungu tena: “Kuna mutu zaidi anayekuja?” Yawe akawajibu: “Anajificha kwenye mizigo.”


Kisi alikuwa na mwana aliyeitwa Saulo. Saulo alikuwa kijana mwenye sura nzuri, na hakuna mutu katika Israeli aliyelingana na Saulo kwa uzuri. Saulo alikuwa murefu zaidi kuliko mutu yeyote katika inchi ya Israeli; watu wote walimufikia kwenye mabega.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις