Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 10:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Baba mudogo wa Saulo alipowaona Saulo na mutumishi, akawauliza: “Mulikuwa wapi?” Saulo akajibu: “Tulikwenda kuwatafuta punda, na tulipoona hawapatikani, tulikwenda kumwona Samweli.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 10:14
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Halafu Gehazi akaingia kwa Elisha na kuanza kumutumikia. Elisha akamwuliza: “Unatoka wapi?” Gehazi akajibu: “Sikuenda nafasi yoyote.”


Saulo alipomaliza kutabiri, alikwenda kwenye nafasi ya kuabudia.


Yule baba mudogo wa Saulo akamwambia: “Tafazali, uniambie kile Samweli alichokuambia.”


Muke wa Saulo aliitwa Ahinoamu binti ya Ahimasi. Jemadari wa makundi ya waaskari wa Saulo aliitwa Abeneri mwana wa Neri, baba mudogo wa Saulo.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις