Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




1 Samweli 1:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Hana aliendelea kumwomba Yawe kwa muda murefu, na kuhani Eli akakuwa anaangalia midomo yake.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




1 Samweli 1:12
8 Σταυροειδείς Αναφορές  

Halafu Yesu akawaambia wanafunzi wake mufano huu kwa kuwaonyesha kwamba wanapaswa kuomba siku zote pasipo kuchoka.


Mumwombe Mungu kila wakati mukiongozwa na Roho. Mumwombe na kumusihi kwa kila namna. Kwa hiyo mukeshe bila kuchoka mukiwaombea watu wote wa Mungu.


Mudumu katika kuomba. Munapoomba mukeshe na kumutolea Mungu shukrani.


Basi muitikiane zambi ninyi kwa ninyi na kuombeana kusudi mupate kuponyeshwa. Maombi ya bidii ya mwenye haki ni yenye faida kubwa.


Akafanya kiapo akisema: “Ee Yawe wa majeshi, kama tu utayaangalia mateso yangu mimi mujakazi wako, ukinikumbuka mimi, bila kunisahau, mimi mujakazi wako, ukinijalia mimi mujakazi wako mutoto mwanaume, nitakupa wewe Yawe mutoto huyo akuwe wako maisha yake yote; wembe hautapita kwenye kichwa chake hata kidogo.”


Hana alikuwa akiomba kimoyomoyo, midomo yake ilikuwa inachezacheza, lakini sauti yake haikusikilika. Hivyo Eli akafikiri kwamba Hana amelewa.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις