Obadia 1:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200219 Wale wanaokaa Negebu wataurizi mulima wa wazao wa Esau, wale wanaokaa katika Shefela watarizi inchi ya Wafilistini. Waisraeli watarizi inchi za Efuraimu na Samaria na watu wa kabila la Benjamina watarizi inchi ya Gileadi. Viz kapitola |