Obadia 1:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Wazao wa Yakobo watakuwa kama moto na wazao wa Yosefu kama ndimi za moto. Watawaangamiza wazao wa Esau kama vile moto unavyoteketeza majani yenye kukauka, hakutaponyoka hata mumoja wao. –Yawe amesema. Viz kapitola |