Marko 14:65 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200265 Wengine katikati yao wakaanza kumutemea Yesu mate, wakamufunika uso na kumupiga ngumi, wakimwambia: “Tambua sasa ni nani aliyekupiga!” Nao waaskari walinzi wakamukamata Yesu na kumupiga makofi. Viz kapitola |