Marko 12:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200228 Mwalimu mumoja wa Sheria alikuwa pale Yesu alipobishana na Wasadukayo. Yeye alitambua kwamba Yesu aliwajibu vizuri. Basi akamujongelea na kumwuliza: “Ni amri gani inayokuwa ya kwanza katikati ya amri zote?” Viz kapitola |