Malaki 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Munaponitolea sadaka ya nyama anayekuwa kipofu, au kilema, au mugonjwa, huo si uovu? Mutawala atapendezwa au kukutendea mema ukimupa zawadi ya nyama kama yule? –Ni Yawe wa majeshi anayesema hivyo. Viz kapitola |