Malaki 1:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Watu wa mataifa katika dunia yote tokea upande jua linapopanda mpaka upande jua linaposhuka wanalitukuza jina langu. Kila pahali wananifukizia ubani na kunitolea sadaka zinazokubaliwa; maana jina langu linatukuzwa kati yao. Viz kapitola |