Online Bible

- Reklamy -




Luka 23:50 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

50-51 Kulikuwa mutu mumoja muzaliwa wa Arimatea, katika jimbo la Yuda, jina lake lilikuwa Yosefu. Mutu huyu alikuwa mwema na mwenye haki, naye alikuwa akitazamia Ufalme wa Mungu. Yeye alikuwa mumoja wa washauri wa Baraza Kubwa, lakini hakukubali shauri na matendo ya wenzake.

Viz kapitola kopírovat




Luka 23:50

Následuj nás:

Reklamy


Reklamy