Luka 2:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200236 Kulikuwa vilevile nabii mumoja mwanamuke, aliyeitwa Ana, aliyekuwa binti ya Fanueli, wa kabila la Aseri. Yeye alikuwa muzee sana. Aliishi miaka saba na mume wake tangu alipoolewa. Viz kapitola |