Luka 10:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Yesu akaongeza kuwaambia wanafunzi wake: “Yule anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; yule asiyewapokea ninyi, hanipokei mimi, na yule asiyenipokea mimi, hamupokei yule aliyenituma.” Viz kapitola |