Hosea 4:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Wanatambikia kwenye vilele vya milima; wanatoa sadaka kwenye vilima, chini ya miti ya mwalo, migude na mikwaju, maana kivuli chao ni kizuri. Kwa hiyo wabinti wenu wanafanya uzinzi, na bibi-arusi wenu anafanya uasherati. Viz kapitola |