Hosea 2:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Mama yao amefanya uzinzi, aliyebeba mimba yao amefanya mambo ya haya. Alisema: Nitaambatana na wapenzi wangu, ambao wananipatia chakula na maji, nguo za sufu na kitani, pamoja na mafuta na divai. Viz kapitola |