Hosea 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Yawe akamwambia Hosea: Umupange mutoto huyo jina la “Yezereheli”, maana kisha siku chache tu, nitaiazibu jamaa ya Yehu kwa mauaji aliyofanya katika bonde la Yezereheli. Hivi nitavunja ufalme katika taifa la Israeli. Viz kapitola |