Esteri 8:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Mordekayi alikuwa ameandika barua hizo kwa jina la mufalme Ahasuero, akazipiga muhuri kwa pete ya mufalme. Na waliozipeleka walikuwa wajumbe waliopanda juu ya farasi wenye nguvu wanaokimbia mbio. Viz kapitola |