Danieli 7:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Huyo atasema maneno ya kujivuna mbele ya Mungu Mukubwa na kuwatesa watakatifu wake. Atajaribu kubadilisha sikukuu na sheria zao, na watakatifu watatiwa katika mikono yake kwa muda wa miaka mitatu na nusu. Viz kapitola |