Danieli 3:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200224 Basi, mufalme Nebukadneza akashangaa, akasimama kwa haraka na kuwauliza washauri wake: Si tuliwafunga watu watatu na kuwatupa katika moto? Nao wakamujibu mufalme: Kweli, mufalme! Ndivyo! Viz kapitola |