Danieli 2:44 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200244 Wakati wa wafalme wale, Mungu wa mbinguni ataanzisha ufalme ambao hautaangamizwa hata kidogo. Watu wengine hawataushinda na kuutawala ufalme huo, lakini ufalme huo utaziponda na kuzikomesha falme zilizotangulia, nao utadumu milele. Viz kapitola |